UDOM Student Shines

UDOM Student Shines

Ndio project ni ya kawaida, lakini hilo halimaanishi tusimpe pongezi, angalau amejaribu na katoa kitu from zero hadi kukamilisha prototype inayofanya kazi, nimeipitia system yake nzima aliyotengeneza hapa Rented House Power Distribution Controlling System (RHPDCS) - ELECTROTZ Naona kajitahidi, ingawaje zipo system nzuri zaidi, lakini kila kitu kinaanzia chini siku zote, huyu anakua polepole, akiendelea kukomaa anaweza fika pazuri, namshauri tu ajaribu kujikita na kwenye ulimwengu wa digital logic, programming, mfano kwa arduino project kama hiyo ingeweza kufanyika kwa kasi mno pamoja na kuunga hadi kwenye smartphone kabisa badala ya kutumia buzzer.

Ningependa kuona UDOM wanajaribu kujiimarisha kuwahamisha wanafuzi wafanye practicals, project kama hii nilitegemea mwanafunzi wa mwaka wa pili electrical engineering au computer science awe na uwezo wa kuifanya fully, kama final year project naona kama ni rahisi mno. Wana majengo mengi yanafaya kazi gani? wanafunzi nao naona wamelala kidogo. Kwa mazingira aliyopo huyu dada nadhani angekua nchi nyingine angekua mbali sana.

Well said mkuu
 
Wewe umefanya nini?
OK then, tupe mfano mmoja wa unalolifikiria ambalo litaleta Tija.
Period..!

Tukianza namna iyo,ni ungese tu...na wewe umefanya nini?Tutaishia kwenye chicken-egg riddle...

Hujaelewa mantiki hapa,ni kwamba hiyo project ni ya kawaida kabisa haina cha ajabu...ungekua umepitia projects zote za fourth year za vitivo vya Electrical/Electronics and Computer Systems Engineering zilizokwisha fanyika kwamfano UDSM tu ambapo nina uzoefu nako,hiyo project ya huyo dada it is a joke...

Ndio maana nakuuliza,una background yeyote ya ECSE degrees ili tuelewane hapa?

Unaishia kusema "Umefanya nini",haya tukianza kutaja Fourth Year Projects za kila mtu hapa,huyo dada will nowhere to be seen...nikutajie projects zilizowafanya professors wa engineering udsm washangae na kutokuamini macho yao?

Sikatai kwa level ya huyo dada kajitahidi,ila kwenye grand scheme of things,aisee trust me,ni kawaida tu.

Huyo katoka Udom na ni msichana na wao wapate 1minute of media attention for obvious reasons,you know them.
 
Back
Top Bottom