UDOM mbona kama hakuna uongozi wa wanafunzi

UDOM mbona kama hakuna uongozi wa wanafunzi

Jamaniiii hadi hili suala unaleta Jf????? khaaaaaa wanafunzi wa UDOM embu punguzeni kulalamika Sijawahi ona mwanafunz wa UDSM,SUA,MUM,MZUMBE etc wanaleta uzi wa kijinga humu Ntaanza kuyaamin maneno ya KIKOOZI juu ya UDOM.
 
Wadau kwa kulalamika?? Vp mambo ya academic yapo OK?? Au unawaza misosi tu.

mtoa mada kashakwambia hapo hili mambo yaende sawa kwa ufasaha ni lazima kwanza upate huduma ya chakula ya kuridhisha.. tuliopo huku ndio tunajua hili tatizo jinsi gani linavyo tuathiri hata kitaaluma... sasa wewe mtu anatoa duku duku lake unaanza kumuuliza mambo ya class kama vile hajui wajibu wake acha ubwege wewe kama huna cha kusaidia kaushaa
 
Toa uwongo wako chakula kipo cha
Kutosha acha kulalamika afu usiwe unawaza chakula waza masomo mnajishusha hadhi sana wanaudom ndo mana mtaani watu wanaogopa kuwaajiri coz mawazo yenu ni kama haya yako

acha ungese maku wewe, angalia unavyotokwa povu kwa kukanusha jambo usilolijua... uko wapi kwanza? kama haupo udom sasa hivi na unatema hizi pumba basi you really deserve big middle finger in your rotten arse!! eti chakula kipo cha kutosha!!? hivi unajua wanafunzi wanavyo gombana na wakata coupons pamoja na wagawa chakula kila siku sababu ikiwa ni hiyo hiyo ya huduma mbovu??? fara sana wewe umenivuruga basii tu
 
Jamaniiii hadi hili suala unaleta Jf????? khaaaaaa wanafunzi wa UDOM embu punguzeni kulalamika Sijawahi ona mwanafunz wa UDSM,SUA,MUM,MZUMBE etc wanaleta uzi wa kijinga humu Ntaanza kuyaamin maneno ya KIKOOZI juu ya UDOM.

uzi wa kijinga basing on the way you perceive it, eti sijawahi kuona mwanafunzi wa wapi wapi analeta uzi wa kijinga humu!!? anyway nakushauri uamini hivyo hivyo hayo maneno ya MAKOOZI uliyomezeshwa..
 
Udom kuna tatizo.

sio tatizo kuna matatizo ambayo tukianza kuorodhesha hapa hatutafika mwisho. Afu naviona vimtu vingine hapa ambavyo havijui hata maisha ya udom na dodoma kwa ujumla yakoje vina toa comments za kisengerema, kwa sababu vyuo walivyo soma wao havina matatizo kama yaliyopo udom, etii acheni kulalamika!! pumbavuu zao
 
mtoa mada kashakwambia hapo hili mambo yaende sawa kwa ufasaha ni lazima kwanza upate huduma ya chakula ya kuridhisha.. tuliopo huku ndio tunajua hili tatizo jinsi gani linavyo tuathiri hata kitaaluma... sasa wewe mtu anatoa duku duku lake unaanza kumuuliza mambo ya class kama vile hajui wajibu wake acha ubwege wewe kama huna cha kusaidia kaushaa

Labda baadh ya college... mbn mm nasoma UDOM hapa hapa na nina survive????
 
Labda baadh ya college... mbn mm nasoma UDOM hapa hapa na nina survive????

uko college gani kwanza? sababu haya matatizo madogo madogo yasiyokuwa ya ulazima hata serikali ya wanafunzi ikiwa mbovu haina sauti nayo pia inachangia yaendelee kuwepo!! yaah ni kweli matatizo yanatofautiana college na college... kwa udom pale matatizo kma haya ya chakula huwezi ukayaskia kwa mtu anaesoma COED, utayaskia kwa mtu wa info na humanities kule ambako hata wamiliki wa cafteria wanaogopwa na viongozi wa UDOSSO!!
 
Km huwez kuchangia maada unakaa kimya acheni siasa zenu za maji taka maana kila kitu mnaleta utani daaah watz tuwe na busara
 
Km huwez kuchangia maada unakaa kimya acheni siasa zenu za maji taka maana kila kitu mnaleta utani daaah watz tuwe na busara

Kama huwezi kuishi UDOM acha chuo....kwann ulalamike ww tu?? Kwan unasafa peke ako??? Act kama msomi bhas....kwanza humu unavolalamika ndo utapata msaada au???
 
uko college gani kwanza? sababu haya matatizo madogo madogo yasiyokuwa ya ulazima hata serikali ya wanafunzi ikiwa mbovu haina sauti nayo pia inachangia yaendelee kuwepo!! yaah ni kweli matatizo yanatofautiana college na college... kwa udom pale matatizo kma haya ya chakula huwezi ukayaskia kwa mtu anaesoma COED, utayaskia kwa mtu wa info na humanities kule ambako hata wamiliki wa cafteria wanaogopwa na viongozi wa UDOSSO!!

Tatzo mnalalamika sana....acheni chuo bhas
 
Udoso hasa ya chss ndo hamna kitu kabisa hakuna cha rais wala waziri mkuu wote hamna kitu rais muoga kuliko hata hp ya sec watu wanalala chini kisa wanazungushwa kusajiliwa na kila kitu wamelipa mimi km siwatambui udoso wote hawajui kitu kujisajili tunazungushwa mfanyakazi wa chuo anakaa ofsini nusu saa anatoka naksema nmechoka nitawasajili kesho boom wengne ndo tegemeo ila ndo mpaka leo maviongoz tunetoa 5000 yetu ya udoso daaah inatuuma sana in general udom hakuna uongoz wa wanafunz ulikuwepo mwaka jana enz za mwak binga sio sasa victor unazingua kinoma jaamaa ulijifanya harakati kumbe hakuna kitu we jamaa
 
Tatzo mnalalamika sana....acheni chuo bhas

sijui nikupe tusii gani linalo kustahili baradhuli mkubwa wewe!!
kwa hiyo hapo ndio umefikiri mpaka mwisho wa uwezo wako ukaona ilo ndio jibu la kutoa kwenye maelezo niliyokupa baada ya wewe kuonyesha pengine haya matatizo hayapo kwenye college uliyopo wewe!!?
acha ujinga
 
sijui nikupe tusii gani linalo kustahili baradhuli mkubwa wewe!!
kwa hiyo hapo ndio umefikiri mpaka mwisho wa uwezo wako ukaona ilo ndio jibu la kutoa kwenye maelezo niliyokupa baada ya wewe kuonyesha pengine haya matatizo hayapo kwenye college uliyopo wewe!!?
acha ujinga

Hii cyo sehemu stahiki ya ww kupata ufumbuz wa matatizo yako.....tumia akili ya kisomi...tangu upost ni msaada gan umeupata zaidi ya kubishana kama hv??? tumia akili kufikiri cyo kinyesi.....PUMBAAAAVVVV
 
Hii cyo sehemu stahiki ya ww kupata ufumbuz wa matatizo yako.....tumia akili ya kisomi...tangu upost ni msaada gan umeupata zaidi ya kubishana kama hv??? tumia akili kufikiri cyo kinyesi.....PUMBAAAAVVVV

wewe jamaa ni maku dunia mtoto wa msimbe wewe!! kumbe ndio ilikuwa lengo kunifikisha huku!? kwa akili yako dhoofu kma kondoo! kwa hiyo unaona hapa ni kosa kuja na mada kma hii!? kwani hao viongozi wako wa Udosso hawamo humu maku wewe!!? kifupi tu wewe ni mpumbavuu na hata malezi uliyopewa ni ya kijinga umezoea kuficha ficha makosa na kuyavumilia!! sipotezi muda wangu tena kubishana na mburura wewe usiekuwa na akili ya kuona walau wapi mbele wapi nyuma... chuo chako unachokitetea kina maudhi mengi mno!!
 
wewe jamaa ni maku dunia mtoto wa msimbe wewe!! kumbe ndio ilikuwa lengo kunifikisha huku!? kwa akili yako dhoofu kma kondoo! kwa hiyo unaona hapa ni kosa kuja na mada kma hii!? kwani hao viongozi wako wa Udosso hawamo humu maku wewe!!? kifupi tu wewe ni mpumbavuu na hata malezi uliyopewa ni ya kijinga umezoea kuficha ficha makosa na kuyavumilia!! sipotezi muda wangu tena kubishana na mburura wewe usiekuwa na akili ya kuona walau wapi mbele wapi nyuma... chuo chako unachokitetea kina maudhi mengi mno!!

Asante brother....
 
Asante brother....

Serikali sikivu ya CCM imekupa 8500 kwa Siku,kama unataka kusoma vizuri kula hata 3000 usiku ili uweze kukaa mezani muda mrefu,ukiwa mwanachuo jiongze kaka,unavyolalamika kwa swala la kipumbavu kama hili watu wanakudharau,uongozi wa udoso ni mmbovu compare na Daruso,viongozi wenu wamekaa kimaslahi tupu pale chuoni hamana wanalofanya,kwa hyo mkuu jiongeze mwenyewe kwa mambo mengine.
 
Serikali sikivu ya CCM imekupa 8500 kwa Siku,kama unataka kusoma vizuri kula hata 3000 usiku ili uweze kukaa mezani muda mrefu,ukiwa mwanachuo jiongze kaka,unavyolalamika kwa swala la kipumbavu kama hili watu wanakudharau,uongozi wa udoso ni mmbovu compare na Daruso,viongozi wenu wamekaa kimaslahi tupu pale chuoni hamana wanalofanya,kwa hyo mkuu jiongeze mwenyewe kwa mambo mengine.

👍👍👍👍👍👍👍👏👏👏👏👏👏
 
Jamani msikilizeni wazo lake linaweza kua na mantiki na kusaidia wengine.
Wengine wanayaona ayo matatizo lakn hawaongei but yeye amefunguka
 
Back
Top Bottom