UDOM mbona kama hakuna uongozi wa wanafunzi

UDOM mbona kama hakuna uongozi wa wanafunzi

Lameck Dunia

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2013
Posts
291
Reaction score
45
jamani wasomi naombeni tusaidieni kitu kimoja kila mmoja anajua kuwa ili uende kusoma vema drsn yakubidi uwe na afya njema yaani umeshiba lakini chakushangaza UDOM wawekezaji wanataka watajirikie kwetu mtu unaa agiza wali nyama 1500/= unawekewa kidogo sana hadi inatia hasira ukimwambia niongeze anakujibu vibaya na udom chakula kinapatikana chuo tu usiku huwezi enda ujasi pia foleni kwenye chakula ni shida lakini viongoz wetu kimyaaaaaaaaa km na wao wana ubia na wenye cafe sasa sijui itakuaje kwa ss tulotoka boyz maana hatushibi boom lenyewe kuutuingizia mpaka wajiskie mpaka leo watu kibao hatujapewa MH RAIS JPM SHITUKIZA UDOM BASI TUPEWE BOOM AISEE SIO WOTE WATOTO WA KISHUA JAMANI DA PREZIDAA WA CHSS UPO NAJUA UTAPATA UJUMBE
 
SISI wenzio twaendaga ujasi twakushangaa unasema eti ucku haiwezekani kwenda ujasi
 
jamani wasomi naombeni tusaidieni kitu kimoja kila mmoja anajua kuwa ili uende kusoma vema drsn yakubidi uwe na afya njema yaani umeshiba lakini chakushangaza UDOM wawekezaji wanataka watajirikie kwetu mtu unaa agiza wali nyama 1500/= unawekewa kidogo sana hadi inatia hasira ukimwambia niongeze anakujibu vibaya na udom chakula kinapatikana chuo tu usiku huwezi enda ujasi pia foleni kwenye chakula ni shida lakini viongoz wetu kimyaaaaaaaaa km na wao wana ubia na wenye cafe sasa sijui itakuaje kwa ss tulotoka boyz maana hatushibi boom lenyewe kuutuingizia mpaka wajiskie mpaka leo watu kibao hatujapewa MH RAIS JPM SHITUKIZA UDOM BASI TUPEWE BOOM AISEE SIO WOTE WATOTO WA KISHUA JAMANI DA PREZIDAA WA CHSS UPO NAJUA UTAPATA UJUMBE

Hivi wajasi wameisha?halafu hiyo 1500 hua haipandi maana sie tuliiacha hiyo au wanafidia kwa kupunguza msosi?
Ila piga book kula baadae Si mnasemaga mchumia juani hulia kivulini?

Halafu huku sio chaka la kukimbilia kwa matatizo madogo madogo ya msosi.
 
Funga mkanda...hata wenzio wameyapitia hayo hayo...halafu swala la kushiba ni LA mtu mmoja mmoja. Hicho ambacho wewe ukila hushibi kuna wenzio hadi kinabaki wanamwaga.

Kuhusu suala LA kucheleweshewa mikopo ipo haja ya nyie kuishinikiza ofisi ya mikopo kupitia serikali yenu ya wanafunzi.
 
Jibu kubwa liko informatics ambako ni wiki mbili sasa hakuna huduma ya Chakula college of informatics and virtual education (CIVE).NI UTATA MZITO AISEE UJASI KWA KWENDA MBELE!!!
 
Hivi wajasi wameisha?halafu hiyo 1500 hua haipandi maana sie tuliiacha hiyo au wanafidia kwa kupunguza msosi?
Ila piga book kula baadae Si mnasemaga mchumia juani hulia kivulini?

Halafu huku sio chaka la kukimbilia kwa matatizo madogo madogo ya msosi.

Hahaha....kwel bhana,af huyu atakua ni 1st year
 
Mwarabu wa coed anazingua sana yaan wali wa buku unapewa vimaharage kidogo hamna hata mboga mboga ila walau huku tiba anaeka mboga mboga, ujasi kuna kipindupindu
 
Mwarabu wa coed anazingua sana yaan wali wa buku unapewa vimaharage kidogo hamna hata mboga mboga ila walau huku tiba anaeka mboga mboga, ujasi kuna kipindupindu

Wadau kwa kulalamika?? Vp mambo ya academic yapo OK?? Au unawaza misosi tu.
 
management ya udom watupu vichwani mpaka sasa hatujawekewa pesa ahadi haziishi me nachukia watu wanaoingiza siasa kwa mambo ya msingi.
 
Dah udom yangu maisha yamesha anza kua magumu unatakiwa kununua vitini msos na mahtaji mengne madogo had saiv boom hakuna dah!
 
mi nakula maandazi ya bakhresa ya sh 1200 tu, bei za misosi nishashindwa hapa informatics.
 
jamani wasomi naombeni tusaidieni kitu kimoja kila mmoja anajua kuwa ili uende kusoma vema drsn yakubidi uwe na afya njema yaani umeshiba lakini chakushangaza UDOM wawekezaji wanataka watajirikie kwetu mtu unaa agiza wali nyama 1500/= unawekewa kidogo sana hadi inatia hasira ukimwambia niongeze anakujibu vibaya na udom chakula kinapatikana chuo tu usiku huwezi enda ujasi pia foleni kwenye chakula ni shida lakini viongoz wetu kimyaaaaaaaaa km na wao wana ubia na wenye cafe sasa sijui itakuaje kwa ss tulotoka boyz maana hatushibi boom lenyewe kuutuingizia mpaka wajiskie mpaka leo watu kibao hatujapewa MH RAIS JPM SHITUKIZA UDOM BASI TUPEWE BOOM AISEE SIO WOTE WATOTO WA KISHUA JAMANI DA PREZIDAA WA CHSS UPO NAJUA UTAPATA UJUMBE
Toa uwongo wako chakula kipo cha
Kutosha acha kulalamika afu usiwe unawaza chakula waza masomo mnajishusha hadhi sana wanaudom ndo mana mtaani watu wanaogopa kuwaajiri coz mawazo yenu ni kama haya yako
 
Unazungumzia nn sasa iv mbona kuna mabadiliko,2008 naona ungeacha chuo.
 
jamani wasomi naombeni tusaidieni kitu kimoja kila mmoja anajua kuwa ili uende kusoma vema drsn yakubidi uwe na afya njema yaani umeshiba lakini chakushangaza UDOM wawekezaji wanataka watajirikie kwetu mtu unaa agiza wali nyama 1500/= unawekewa kidogo sana hadi inatia hasira ukimwambia niongeze anakujibu vibaya na udom chakula kinapatikana chuo tu usiku huwezi enda ujasi pia foleni kwenye chakula ni shida lakini viongoz wetu kimyaaaaaaaaa km na wao wana ubia na wenye cafe sasa sijui itakuaje kwa ss tulotoka boyz maana hatushibi boom lenyewe kuutuingizia mpaka wajiskie mpaka leo watu kibao hatujapewa MH RAIS JPM SHITUKIZA UDOM BASI TUPEWE BOOM AISEE SIO WOTE WATOTO WA KISHUA JAMANI DA PREZIDAA WA CHSS UPO NAJUA UTAPATA UJUMBE
Hahahahaaaa....da! haya matunda ya BRN taaabu kweli kweli.Yan nlipoona huo uzi nkafkr kuna cha maana kumbe ni dume zma ndo linalalamikia issue za msosi!!!! we ulienda chuo kusoma au ulienda kula? Yan hyo 1500 tu unataka uwe unapakuliwa sinia zma?!! Watu tumesomea UDOM miaka mitatu na tulikua tunakula hchohcho chakula mpaka tumemalza chuo,we leo ndo una mwezi mmoja tu tayar umeanza kuleta misiba yako humu!!

Kwa akili hizo za kuwaza chakula,jiandae kusup, ku carry na mwisho ku-disco.
 
Hahahahaaaa....da! haya matunda ya BRN taaabu kweli kweli.Yan nlipoona huo uzi nkafkr kuna cha maana kumbe ni dume zma ndo linalalamikia issue za msosi!!!! we ulienda chuo kusoma au ulienda kula? Yan hyo 1500 tu unataka uwe unapakuliwa sinia zma?!! Watu tumesomea UDOM miaka mitatu na tulikua tunakula hchohcho chakula mpaka tumemalza chuo,we leo ndo una mwezi mmoja tu tayar umeanza kuleta misiba yako humu!!

Kwa akili hizo za kuwaza chakula,jiandae kusup, ku carry na mwisho ku-disco.

Chukua like mkuu..me nimejifunza mengi sana kukutana na wanafunzi wa UDOM,yani wenyewe ni kulalamika tu kila kitu..UDOM mwanzoni ndio ilikuwa na matatzo lakini kwa sasa chuo ni kigumu sana kwenye academic wanabana mpaka sio vizuri...kijana piga msuli acha kulalamika kwa mambo ya kawaida,we lalamika may be maji hakuna ama tatzo lingne.
 
Back
Top Bottom