kelvin_sigwa_1
Member
- Dec 6, 2016
- 41
- 24
Chuo cha kata! Kama secondaryNilisoma UDOM katika college ya Natural and Math science, Bsc Physics. Baada ya kuona haina tija katika maish yangu nikaacha.
Nilichogundua nikwamba Chuo cha UDOM kipo kwa ajili ya urasimu na sio academics, ndio maana hakitoi wasomi bora.
Urasimu kivipi??Nilisoma UDOM katika college ya Natural and Math science, Bsc Physics. Baada ya kuona haina tija katika maish yangu nikaacha.
Nilichogundua nikwamba Chuo cha UDOM kipo kwa ajili ya urasimu na sio academics, ndio maana hakitoi wasomi bora.
na nafuu hujui ukweli, ulisikia tuChuo cha kata! Kama secondary
akili za viazi huwa hazibadiliki, step up brother, tafuta kitu kingine andika kwanza kwenye karatasi, hakikisha ni cha maana halafu post humu