Ulamaa Hemed
Senior Member
- Sep 21, 2012
- 159
- 16
Chuo kikuu cha dodoma kinanusurika kuungua baada ya nguzo ya umeme kuanguka ktk school ya humanities na kuwaka moto, hali hiyo imesababisha baadhi ya wanafunzi kuumia na wengine kuzimia hali hiyo imetokea saa sita na nusu usiku