Udom chuo cha kata! Kuna mwl. mmoja kamaliza Udom yupo songea v shule moja hivi alisoma BA kisw na political, anakataa kufundisha form III na IV, Anafundisha Civics I & II yupo Shallow sana,hata kuandika neno INDEPENDENCE hawezi, anaandika INDEPENDENSE
Mkuu KATUMBACHAKO inawezekana sio kosa lako. Ualimu unaanza ukiwa shule kabla hujafika chuo. Vyuoni zaidi ni kujifunza how to teach ila content zaidi unatoka nayo shule. . So u-shallow wa mwl haimaanish ametoka chuo gani kwan wapo waliotoka UD wako shallow pia. Unataka niamini kwamba magorofa yanayoporomoka kila kukicha nayo yamejengwa na wahandisi waliomaliza udom?? JIPANGE.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.