Mpendawali
Member
- Jul 29, 2012
- 63
- 7
Ile kuingza 2 atm card naona account inacheka hahahahahahahah!!!nw cpg pasi ndefu teeena
Hongereni wana-kata mungu awape hekima kwenye matumizi ya pesa
Jamani lipoooo, mimi nina siku ya 5 toka nichukue, tena nime2mia sana kwny Str8 Music. Sa hv nipo mweupeeeee.........
wana kata ni wewe na familia yako... Mx...