Udhibiti wa virusi vya corona

Udhibiti wa virusi vya corona

uncle

JF-Expert Member
Joined
Dec 10, 2007
Posts
325
Reaction score
184
Poleni na msukomsuko wa janga la covid 19.
Inawezekana nitakayoandika ni marudio lakini naona yanaweza kusaidia vita hii ya kudhibiti virusi vya corona.
Serikali imekataa lockdown lakini tuwe wakweli kuna baadhi ya shughuli zinazofanywa na wananchi ni hatari kwa afya ya hao wafanyakazi na wateja wao. Hivyo nashauri tena serikali ifunge hizo biashara/kazi kwa kipindi hiki kuweza saidia udhibiti wa hivi virusi.
Ntaeleza mifano ya hizo biashara/Nazi
Biashara ya Baa hapa na vilabu vya pombe za kienyeji.
Biashara za saluni zote za like na kiume.
Biashara za massage
Nyumba za wageni nk
Naamini hii kwa kiasi Fulani itasaidia
 
Nyumba za wageni unalala peke yako utaambukizwaje mkuu?
 
Nyumba za wageni unalala peke yako utaambukizwaje mkuu?

Mfano unafikili mteja wa short time uwa wanabadili mashuka?
Chukulia alilala apo mtu mwenye Korona je wewe utakua salama?
Vp watu wangapi wanaingia apo na kushika mahala tofauti tofauti ukigusa wewe haujaambukizwa?


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Poleni na msukomsuko wa janga la covid 19.
Inawezekana nitakayoandika ni marudio lakini naona yanaweza kusaidia vita hii ya kudhibiti virusi vya corona.
Serikali imekataa lockdown lakini tuwe wakweli kuna baadhi ya shughuli zinazofanywa na wananchi ni hatari kwa afya ya hao wafanyakazi na wateja wao. Hivyo nashauri tena serikali ifunge hizo biashara/kazi kwa kipindi hiki kuweza saidia udhibiti wa hivi virusi.
Ntaeleza mifano ya hizo biashara/Nazi
Biashara ya Baa hapa na vilabu vya pombe za kienyeji.
Biashara za saluni zote za like na kiume.
Biashara za massage
Nyumba za wageni nk
Naamini hii kwa kiasi Fulani itasaidia
tutakosa mapato
 
Back
Top Bottom