El'son
JF-Expert Member
- Jun 3, 2012
- 380
- 324
Binafsi naunga mkono swala la uhakiki wa watumishi wa umma linalofanywa na serikali kwa sasa. Ila imefika mahala njia zinazotumiwa na baadhi ya watendaji kuvunja miiko ya utumishi wa umma na kulifanya swala la uhakiki kuwa udhalilishaji.
Nimekutana na video hii sijui imetokea wapi lakini kwa mtadhamo wangu hawa walichokifanya ni kinyume na utaratibu, hvyo kulifanya jambo hili la uhakiki kuwa udhalilishaji kwa walimu wa shule husika.
Rai yangu ni kuwa ipo haja ya kufanya uhakiki, lakini ni vyema uhakiki huo ukafanyika kwa namna ambayo hautawaletea dhihaka wale wanaohakikiwa lah sivyo watahisi wananyanyaswa na kudhalilishwa. Naomba niwape pole waliofikwa na maswahibu hayo ila pia niwasihi kuwa wanapoona kuna hali ya udhalilishaji wasisite kuhoji. Pia wahusika ikiwemo chama cha walimu moja ya kazi zao ni kulinda walimu popote walipo hvyoo wanajukumu la kukemea udhalikishaji wote unaofanya dhidi ya walimu. Mwisho ni kwa wale wanaohakiki watumish hasa kwa walimu waliowengi nawasihi watumie njia rafiki zitakadho linda heshima ya mwalimu.
Asanthe nawasilisha
Nimekutana na video hii sijui imetokea wapi lakini kwa mtadhamo wangu hawa walichokifanya ni kinyume na utaratibu, hvyo kulifanya jambo hili la uhakiki kuwa udhalilishaji kwa walimu wa shule husika.
Rai yangu ni kuwa ipo haja ya kufanya uhakiki, lakini ni vyema uhakiki huo ukafanyika kwa namna ambayo hautawaletea dhihaka wale wanaohakikiwa lah sivyo watahisi wananyanyaswa na kudhalilishwa. Naomba niwape pole waliofikwa na maswahibu hayo ila pia niwasihi kuwa wanapoona kuna hali ya udhalilishaji wasisite kuhoji. Pia wahusika ikiwemo chama cha walimu moja ya kazi zao ni kulinda walimu popote walipo hvyoo wanajukumu la kukemea udhalikishaji wote unaofanya dhidi ya walimu. Mwisho ni kwa wale wanaohakiki watumish hasa kwa walimu waliowengi nawasihi watumie njia rafiki zitakadho linda heshima ya mwalimu.
Asanthe nawasilisha
