Bi dentamol
JF-Expert Member
- Feb 1, 2014
- 1,038
- 2,189
sanawali alifikaje mkuu au alijisahau? maana umesema ilikua ashuke philips
Umesema alikuachia cm akaenda kuongea na konda ili amshushe Philips ; ilikuwa je tena ashukie sanawali?
Kuweni makini jamani mnapotunga hadithi
sanawali alifikaje mkuu au alijisahau? maana umesema ilikua ashuke philips
Daah kaka wanawake wana majaribu mazito halafu c unajua hofu ya kuchepuka pia
Kiukweli sidhani kama upendo wa ndoa yako ulikuzuia kula mzigo bali mdomo mzito AKA domo zege ndiyo chanzo cha kukaa kwenye njia kuu hiyo siku.
zali kama ilo lingenikuta mm cjui ingekuaje?
hehehehh jembe lake shamba, sa unatafutiwa shamba na bado hufanyi kazi.... hata kama umeoa kusaidia wenye huitaji sio dhambi lol!!!
Hakyanani, nyie ndo wanaume wa kupigwa vita duniani.
Angekuwa mkeo angepigwa sound na kutoa number ya simu.
Honestly sikusifii, ni sawa na kuacha kununua dhahabu kisa unayo nyingine home.
Wasalimie Arusha.
swal la msing arusha ndipo makaz yalipo au dar ndio familia ilipo
kama ulikua unaenda kikaz kwa mbaaaaliiiiiiii naona kama ulikosea hivi ila kama ndio ulikua unarud nyumbani bas yalikua maamuz mazur kabisa
anyways kaendelee kumpenda mkeo michepuko waachie wenzio.......................
ila dah kama umechezea shiling chooni vle!!!!!!!!!!!!!
hapana mkuu haya mambo nilishayafanyaga sana nanilishaamua kuyaacha ili nifocus future ya wanangu, nilijihoji sana kuhusu kuchukua kuchukua huo mzigo ila majibu niliyokuwa nayapata yali-neutralize hisia zangu zote dhidi ya mwanadada
kwa style hii mbona nimepatwa jamanii...
ha ha ha ha.... mkuu nadhani ungeanzia kurina asali palepale kwenye siti na kwenda kumalizia masalia geto au sio
Nilimssikia kabisa akisema philips cha ajabu gari lilienda hadi sanawali ila may be konda alimkatalia, kiukweli kwa hali ilipokuwa imefikia nilitamani niendelee kuwa nae
ha ha ha jiongeze mkuu.................sasa mkuu we uko ukawa au ccm???