samaki2011
JF-Expert Member
- Dec 17, 2013
- 1,775
- 469
Siku 1 nilikuwa nasafiri kutoka dar kwenda arusha. Kwa bahati nilikaa siti 1 na mdada m1 hivi mrembo, yule sister alikaa upande wa dirishani halafu mkononi alikuwa ameshika kitabu kilichokuwa na heading "Relationship to marriage" kilikuwa kimeandikwa kwa lugha ya kingereza. Kama kawaida yetu watanzania kabla ya kukaa nilimsalimia then namimi nikatoa gazeti langu la Tanzania Daima nikawa nasoma.
Wote tulikuwa tume concentrate, yeye kwenye kitabu na mimi kwenye gazeti langu,tulipofika kibaha sista akaweka pause kidogo nadhani alikuwa anatafakari mambo kadhaa, kwa ghafla na mimi nikashusha gazeti nikatazama nje kupitia dirisha, akadhani namtazama yeye hivyo akageuka ghafla kunitazama na macho yake mazuri tukajikuta tunatazamana. Aliponichanganya ni pale alipotabasamu na kuniuliza jina langu. Tukaweka majarida yetu chini tukafahamiana majina.
Kitendo hicho kilichukua dk kama 13 hv kisha kila m1 aliendelea na shughuli zake. Tulipofika chalinze nikawa nimemaliza kusoma gazeti, nikalikunja na kuliweka kwenye mkoba huku yule dada akiwa anaanza kusinzia taaratb, baadae alipitiwa na usingizi. Kutokana na rapsha rapsha za basi yule sista alijikuta ameniegemea begani ila sikujali ila kadri usingizi ulivyomzidi ndivyo alivyozidi kunilemea mwisho nilijikuta kalaza mikono yake kwenye mapaja yangu.
Dah nilipata shid kdg kwani nimeoa na nina mtoto m1, kibaya zaidi alikuwa na nywele ndefu zenye nakshi za kutosha nikaamua kuvumilia baadae alistuka na kukaa vzri. Nikamwambia hongera kwa usingizi ila yeye akacheka kwa tabasamu nzito kisha akasema asante. Sikutaka kukurupuka na kumuuliza jambo lolote linalohusu undani wake kwani nilishahisi kama yuk kwenye mahusiano kutokana na baadhi ya simu alizokuwa akizijibu ila kiukweli aliniweka mahali pagumu sana.
Alinifanyia vituko flani ambavyo vilinifanya nitake kufanya maamuzi magumu ya kiusaliti, alinipa mtihani mgumu sana. Kwa mfano staili alizokuwa anabadilisha kukaa huku chuchu zake zikionekana just half way. Kuna kipindi aliweka mikono yake kwenye paja langu la kushoto. Wadau nilijikuta nimekaa kimya mpaka tunakaribia himo. Nilijikuta nageuka mara kwa mara na kumtazama,nakila nilipomtazama nayeye alirespond kwa kunitazama huku wote tukitabasamu yani tayari kulikuwa na kanetwork flani. Wote tulijizuia kutoonyesha udhaifu zaidi. Nilitamani pia kuwa na contacts zake ila nilishindwa kwa sababu tayari nina mke.
Tulipokaribia kufika yule mdada aliamka akaniomba nimshikie simu zake 2 yeye akaenda kuongea na konda ili amshushe Phillips then akarudi huku akiwa na mishemishe nyingi zilizonifanya nishindwe kumpa simu nikajikuta nimekaa na simu zake hadi tunafika sanawari ambapo alitakiwa kushuka na ndipo alipozichukua na kuniaga.
Wadau unaweza kuwa na msimamo sana na jambo flani lakini kiukweli yataka moyo. Kuna kipindi nikimkumbuka yule sista najilaumu eti kwanini sikumwandikia namba zangu hasa pale aliponiachia simu zake.
Wote tulikuwa tume concentrate, yeye kwenye kitabu na mimi kwenye gazeti langu,tulipofika kibaha sista akaweka pause kidogo nadhani alikuwa anatafakari mambo kadhaa, kwa ghafla na mimi nikashusha gazeti nikatazama nje kupitia dirisha, akadhani namtazama yeye hivyo akageuka ghafla kunitazama na macho yake mazuri tukajikuta tunatazamana. Aliponichanganya ni pale alipotabasamu na kuniuliza jina langu. Tukaweka majarida yetu chini tukafahamiana majina.
Kitendo hicho kilichukua dk kama 13 hv kisha kila m1 aliendelea na shughuli zake. Tulipofika chalinze nikawa nimemaliza kusoma gazeti, nikalikunja na kuliweka kwenye mkoba huku yule dada akiwa anaanza kusinzia taaratb, baadae alipitiwa na usingizi. Kutokana na rapsha rapsha za basi yule sista alijikuta ameniegemea begani ila sikujali ila kadri usingizi ulivyomzidi ndivyo alivyozidi kunilemea mwisho nilijikuta kalaza mikono yake kwenye mapaja yangu.
Dah nilipata shid kdg kwani nimeoa na nina mtoto m1, kibaya zaidi alikuwa na nywele ndefu zenye nakshi za kutosha nikaamua kuvumilia baadae alistuka na kukaa vzri. Nikamwambia hongera kwa usingizi ila yeye akacheka kwa tabasamu nzito kisha akasema asante. Sikutaka kukurupuka na kumuuliza jambo lolote linalohusu undani wake kwani nilishahisi kama yuk kwenye mahusiano kutokana na baadhi ya simu alizokuwa akizijibu ila kiukweli aliniweka mahali pagumu sana.
Alinifanyia vituko flani ambavyo vilinifanya nitake kufanya maamuzi magumu ya kiusaliti, alinipa mtihani mgumu sana. Kwa mfano staili alizokuwa anabadilisha kukaa huku chuchu zake zikionekana just half way. Kuna kipindi aliweka mikono yake kwenye paja langu la kushoto. Wadau nilijikuta nimekaa kimya mpaka tunakaribia himo. Nilijikuta nageuka mara kwa mara na kumtazama,nakila nilipomtazama nayeye alirespond kwa kunitazama huku wote tukitabasamu yani tayari kulikuwa na kanetwork flani. Wote tulijizuia kutoonyesha udhaifu zaidi. Nilitamani pia kuwa na contacts zake ila nilishindwa kwa sababu tayari nina mke.
Tulipokaribia kufika yule mdada aliamka akaniomba nimshikie simu zake 2 yeye akaenda kuongea na konda ili amshushe Phillips then akarudi huku akiwa na mishemishe nyingi zilizonifanya nishindwe kumpa simu nikajikuta nimekaa na simu zake hadi tunafika sanawari ambapo alitakiwa kushuka na ndipo alipozichukua na kuniaga.
Wadau unaweza kuwa na msimamo sana na jambo flani lakini kiukweli yataka moyo. Kuna kipindi nikimkumbuka yule sista najilaumu eti kwanini sikumwandikia namba zangu hasa pale aliponiachia simu zake.