UDART yaongeza mabasi 70

Yaani humu sikuhizi mpaka panakera,tunatatuliwa matatizo yetu lakini hatuna shukrani hata chembe zaidi ni lawama,malalamiko,kebehi na upuuzi wote uliotujaa mioyoni.

Staili anayotumia magu inatufaa kabisa kwa asilimia 100,maana hatujui tunataka nini hivyo wala hakuna haja ya kuulizwa wala kudekezwa.

Tulipofikia hata tungeongozwa na malaika bado tungelalamika.
 
Tutapandaje xaxa wakati braza kafungia hela,kama zake vile
 
Daah...watu mnapenda kuandika !
 

huenda m ndo sijaelewa dola 260 ?

260x2300= haizidi 700,000/=

au takwim zimekosewa?
 
Simon Group wahuni tu, tunataka apate mshindani haraka, labda kama ameiweka serikali kwenye mfuko wa boxer!!
 
UDART au DART? Jamani nani mwenye hisa nyingi ?
 
650 Feri hadi Kimara, jumlisha 400 Kimara hadi Mbezi inakuwa ngapi na wewe? Daladala ni bei gani ruti hiyo? Siyo 800?
Kwahiyo wakiweka card utapanda 650 feri-mbezi?..si utalipia hivyohivyo 1050 bado!..
 
Mabasi yapo 200 na sio 170. Lakini pia capacity ya shirika ni kuongeza mabasi 70 na sio kama fikra zako zinavyokutuma. So unapofikiria kuanza kulaum kuliko kupongeza think twice. Maana hakipo kizuri serikali ya 5 inafanya mkasifia
 
waongeze na route zitapakae mpaka huko tegeta na kila kona irahisishe usafiri foleni inachelewesha maendeleo kwakweli
Barabara zinazofegemewa kuwa nanudart ni kilwa, morogoro, samnjoma,na mwenge tegeta, ila ni long term plan. Inayofuata ni kilwa. Nafikiri itakuja mandela na baadae mwenge tegeta
 
Isilete huu uozo uitwao UDART hapa. Kampuni inayoendeshwa kizembe kuliko zote Tanzania. Leo tumebanana kwenye basi kama wakimbizi wakati tumelipa nauli kubwa kuliko ya daladala. Shithole vompany. Shithole management
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…