Shem kuwa na amani, mie huo mchezo wao mie ndo mwalimu, narudi kwa kasi ya Rocket.
Wacha kujipoteza......nimesema ole wako
mama mkwe nn? mbona mkwara mzito sana?
Teh teh....nilikuwa naongea na nani vile....
kiwatengu
#BREAKINGNEWS : Mwali atangaza rasmi kuolewa. cc: somo wake AshaDii10. Mwali aibuka na kuomba mtongozo, vijana wajazana kwenye PM box yake..
atakayefanikiwa kuyafaidi maisha hukoToronto Canada, kipindi cha mwezi mtukufu...
yangu majicho tu shemShem kuwa na amani, mie huo mchezo wao mie ndo mwalimu, narudi kwa kasi ya Rocket.
Hatimaye mwenyekiti arudi kwa kasi,
Waliojikaimisha nafasi kihuni matumbo joto,
Vijana wa chuga watajwa,
Yadaiwa walimzushia kifo kama Balali,
Adhabu yao ni siri kubwa.
Hatimaye mwenyekiti arudi kwa kasi,
Waliojikaimisha nafasi kihuni matumbo joto,
Vijana wa chuga watajwa,
Yadaiwa walimzushia kifo kama Balali,
Adhabu yao ni siri kubwa.
Shikamoo dady!
Hello...Kazi iko hapo kwa aliyemwangusha paroko,, inasemekana mapenz yao yalikolea hadharan huko JF group hapo mtumishi wa Mungu paroko akashindwa kuhimili mihemko ya mwili na kujikuta akisaliti utumishi na kuangukia kwenye penzi la mwanadada Valentina
Hivi we bibie upo wapi sikuhizi?hivi kumbe ulikua na mke tayari?
Hivi umepotea wapi wewe mwaliHello...
Nikuulize wewe ulietupa jongoo na mti wake jamaniHivi umepotea wapi wewe mwali
Mimi nipo sana nimejaa.....we sema ule ulikuwa msimu wa high seasonNikuulize wewe ulietupa jongoo na mti wake jamani