Udahili wa vyuo na credt zinazohitajika

Udahili wa vyuo na credt zinazohitajika

Jamani na mimi naomba msaada mwenye dvs 3 ya point 14 yaani DEE comb ya PCB anaweza kupata nafasi ya kusoma degree mwaka huu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo zimefika cutt of point 4 kwa masomo mawili ?
Tambua
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
S=0•5
Halafu pia division sio inshu ya kuwa na sifa ya kupata chuo,maana wewe una division 3 hupati chuo,
Lkn wakati huo huo kuna mwenye division 4 aliyemaliza 2014.Anapata chuo na sifa ya kusoma degree
 
Hapo zimefika cutt of point 4 kwa masomo mawili ?
Tambua
A=5
B=4
C=3
D=2
E=1
S=0•5
Halafu pia division sio inshu ya kuwa na sifa ya kupata chuo,maana wewe una division 3 hupati chuo,
Lkn wakati huo huo kuna mwenye division 4 aliyemaliza 2014.Anapata chuo na sifa ya kusoma degree
CCF,CCE,BDE, zote ni div 4 2014 zinapeta nouma sana..
 
Back
Top Bottom