A Ali Muhammad Member Joined Feb 22, 2021 Posts 5 Reaction score 3 Jun 5, 2021 #1 Wakuu naomba kuulizaa je Kuna uwezekano wa kufanya udahili kabla matokeo naona tcu wameandika kuwa dirisha la udahili linafunguliwa tarehe 13 June.
Wakuu naomba kuulizaa je Kuna uwezekano wa kufanya udahili kabla matokeo naona tcu wameandika kuwa dirisha la udahili linafunguliwa tarehe 13 June.
Mbagala stendi JF-Expert Member Joined Nov 8, 2020 Posts 343 Reaction score 407 Jun 5, 2021 #2 Ali Muhammad said: Wakuu naomba kuulizaa je Kuna uwezekano wa kufanya udahili kabla matokeo naona tcu wameandika kuwa dirisha la udahili linafunguliwa tarehe 13 June. Click to expand... Natumai utapata muongozo Attachments ADMISSION ALMANAC - 2021-2022 Approved by the Commission.pdf ADMISSION ALMANAC - 2021-2022 Approved by the Commission.pdf 172.8 KB · Views: 37
Ali Muhammad said: Wakuu naomba kuulizaa je Kuna uwezekano wa kufanya udahili kabla matokeo naona tcu wameandika kuwa dirisha la udahili linafunguliwa tarehe 13 June. Click to expand... Natumai utapata muongozo
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 175,907 Reaction score 193,928 Jun 6, 2021 #3 Ngoja waje kukupa muongozo...
Smith Rowe JF-Expert Member Joined Sep 18, 2018 Posts 4,548 Reaction score 9,702 Jun 6, 2021 #4 labda paka hiyo 13 matokeo yatakuwa out
Mlenge R I P Joined Oct 31, 2006 Posts 2,125 Reaction score 2,317 Jun 7, 2021 #5 Labda ni kuwapa fursa wale wa miaka iliyopita kutumia mini-window kutuma maombi.