JKN tayarawamu ya nne ya udahili wa wanafunzi vyuoni kwa ngazi ya shahada 2018/2019
itatoka lini? maana hii ndio awamu ya mwisho inasemekana wanafunzi wote ambao bado awajapata vyuo watapata wote kweli?
Binti yangu kachaguliwa tayariume ona wapi mkuu
Udom wameshatoa awamu ya 4 na majina yako kwa website yao na wamefungua dirisha la 5 pia.Ongeeni vitu na uthibitisho maneno pekee mtakuwa mnatudanganya
Haya ngoja wasubr mkuuUdom wameshatoa awamu ya 4 na majina yako kwa website yao na wamefungua dirisha la 5 pia.
udom AWamu 5 Watafunga Lini?Haya ngoja wasubr mkuu
J k nyerere hko mliman campusJKN NI CHUO GANI
unatakajeTCU, iko wapi jamani