Col. Mkali
New Member
- Oct 8, 2014
- 4
- 0
Ninapoandika ni kwamba acc zinasoma 0:0. Je, na wengine hamjalipwa?
Mshahara wa mwezi wa 9 hatujalipwa.
Mshahara wa mwezi wa 9 hatujalipwa.
niliweka thread humu JF jinsi usafiri unavyotesa watu wa DSM, kimsingi nilisema CCM imeshika dola, lakini imeshindwa kutatua kero ya usafiri DSM, leo unaona hawa jamaa wanalalamika mishahara hakuna mpaka sasa, UDA yenyewe ina imeuzwa kimagumashi, sasa si unaona ni mivurugano tu chini ya chama kimoja hiki tangu uhuru!Ukiishalipwa hii thread haitakuwa na maana,au JF members nao wanalipwa na UDA?
Mtumie hii Meseji mhusika
Ninapoandika ni kwamba acc zinasoma 0:0. Je, na engine hamjalipwa?
Mshahara wa mwezi wa 9 hatujalipwa.
Fanya kazi kijana hizo hela mnazoiba haziwatoshi?