Duh! kweli bongo tambarare, kwa namna sakata hili lilivyokuwa linaendelea ilikuwa rahisi kufikiri haya mambo yalikuwa ni kati ya bodi ya wakurugenzi UDA na Dar City Council.
Lakini ukisoma hiyo barua ya SGL kopi zilipelekwa kwa Waziri wa fedha na katibu mkuu wake, waziri wa uchukuzi na katibu mkuu wake. That means walikuwa wanajua na pengine walishakatiwa chao mapemaa otherwise hao vigogo muda wote huu wamefanya ufuatiliaji upi kuhusiana na hili sakata????
Barua ni ya tarehe 16/06/11 na the deal has been on at least by115 days before that date. Hivyo basi kisingizio cha kutokufahamu ni kichekesho!!!!!