hakuna lolote ni wizi mtupu,mi kuna jamaa yangu alikwenda,pale wapo radio kurasini,ndio makao makuu yao,wakampima eti kwa ku2mia computer,wakamtoa sumu mwilini,wakampa dawa za kama laki 2,hakupata hata nafuu yoyote,aliporudi kuwauliza kulikoni wakamjibu mponyaji ni Mungu,wao ni wawezeshaji 2!