johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,035
- 142,145
Nabii Elia amewashukia Maaskofu wanaoiombea Serikali ya Netanyahu na kuichangia Sadaka waache kupotosha Watu kwani Netanyahu ni Wakala wa Shetani
Nabii Elia amewataja Askofu Prof Gamanywa na Askofu Ngonyani kuwa ndio vinara wa kupeperusha bendera ya Israel mitandaoni hivyo ameomba wafanye Mdahalo
Nabii Elia amesema Judaism ndio Wayahudi wa kweli ola hawa Zionist wametajwa kwenye Kitabu cha Ufunuo kuwa ni Wayahudi wa Uwongo, Wapinga Kristo na Wakala wa Shetani Ufunuo 3:9
Netanyahu anatumiwa na Nato, USA, UK na Vatican chini ya Papa kutaka kuitawala Dunia amesisitiza
Nabii Elia amesema Maaskofu wengi wanalipwa na hizi familia za Illuminati, Freemasons nk Ili kuihadaa Dunia na kuwafanya binadamu mazezeta
Netanyahu na Kundi lake pale Israel siyo Wayahudi na kama Maaskofu Gamanywa na Ngonyani wanabisha waniite tufanye Mdahalo wa Wazi, amesisitiza Nabii Elia/ Iliyas
Nawatakia Dominica Njema
My take; Huu ni Wakati muafaka WAPO TV kuitisha Mdahalo
Nabii Elia amewataja Askofu Prof Gamanywa na Askofu Ngonyani kuwa ndio vinara wa kupeperusha bendera ya Israel mitandaoni hivyo ameomba wafanye Mdahalo
Nabii Elia amesema Judaism ndio Wayahudi wa kweli ola hawa Zionist wametajwa kwenye Kitabu cha Ufunuo kuwa ni Wayahudi wa Uwongo, Wapinga Kristo na Wakala wa Shetani Ufunuo 3:9
Netanyahu anatumiwa na Nato, USA, UK na Vatican chini ya Papa kutaka kuitawala Dunia amesisitiza
Nabii Elia amesema Maaskofu wengi wanalipwa na hizi familia za Illuminati, Freemasons nk Ili kuihadaa Dunia na kuwafanya binadamu mazezeta
Netanyahu na Kundi lake pale Israel siyo Wayahudi na kama Maaskofu Gamanywa na Ngonyani wanabisha waniite tufanye Mdahalo wa Wazi, amesisitiza Nabii Elia/ Iliyas
Nawatakia Dominica Njema
My take; Huu ni Wakati muafaka WAPO TV kuitisha Mdahalo