Nkamu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2007
- 223
- 84
Salamu Wakuu!
Naomba kujuzwa kuhusu huu uchunguzi wa kitabibu unaofanywa na vituo hivyi vya tiba mbadala (SNS)vinavyosimamiwa na Askofu Gamanywa, je ni salama kwa afya za watumiaji? Na vinatumia teknologia gani kufanya huu uchunguzi pasipo kutoa sampuli za damu wala mkojo?
Naomba kujua tafadhali!
Naomba kujuzwa kuhusu huu uchunguzi wa kitabibu unaofanywa na vituo hivyi vya tiba mbadala (SNS)vinavyosimamiwa na Askofu Gamanywa, je ni salama kwa afya za watumiaji? Na vinatumia teknologia gani kufanya huu uchunguzi pasipo kutoa sampuli za damu wala mkojo?
Naomba kujua tafadhali!