pamiho JF-Expert Member Jun 21, 2010 271 35 Jan 16, 2011 #1 Katika pita pita zangu nimekutana na ugomvi huu wa ngedere na mbwa. Mbwa alikuwa akitaka kumla mtoto wa ngedere (ngedere mdogo).
Katika pita pita zangu nimekutana na ugomvi huu wa ngedere na mbwa. Mbwa alikuwa akitaka kumla mtoto wa ngedere (ngedere mdogo).
Gama JF-Expert Member Jan 9, 2010 13,266 4,716 Jan 16, 2011 #3 Ulongo hamuachi tu, tueleze umewakuta mtaa gani?, kwa taarifa yako hawa wanyama wanatumiwa kule india, wanafanya michezo wapitanjia wanalipia, hapa hakuna attack wala rescue. Acha ulongo, kalale.
Ulongo hamuachi tu, tueleze umewakuta mtaa gani?, kwa taarifa yako hawa wanyama wanatumiwa kule india, wanafanya michezo wapitanjia wanalipia, hapa hakuna attack wala rescue. Acha ulongo, kalale.
Maria Roza JF-Expert Member Apr 1, 2009 6,797 1,567 Jan 17, 2011 #5 Anaitwa Asha ngedere lol:smile-big:
afrodenzi Platinum Member Nov 1, 2010 18,145 9,215 Jan 17, 2011 #6 "mama ninakupenda sana" "mama ninakujali mwanao".. "uchunu wangu mimi mwana aujua yeye mama" "na uchungu wa mama yangu naujua mimi kinda lake"...lol Mr.Nice
"mama ninakupenda sana" "mama ninakujali mwanao".. "uchunu wangu mimi mwana aujua yeye mama" "na uchungu wa mama yangu naujua mimi kinda lake"...lol Mr.Nice