CDM hawataki kusikia uzuri wowote wa magufuli jmn nnchi hi hatunamchama Cha upizani hi Ni saccos ya wachanga na washirika zake kina msingwaNilipojadili nawe wakati ule hadi ukanieleza uCCM wako nilikuona kama mtu mwenye akili kidogo kichwani, kumbe ni mtu 'bogus' kabisa!
Waziri wa Ujenzi chini ya Magufuli alipowafungia mirija yenu, ukawa unapayuka hapa ukumbini afukuzwe kazi. Waziri huyo huyo chini ya Samia unamwimbia nyimbo za sifa kama mtu ambaye hujawahi kumsuta kwa lolote.
Mtu mwenye akili za namna hii, utalalamika vipi unapoambiwa kuwa wewe ni mpumbavu?
Sasa kama hutaki nikuone kama kichaa fulani, nionyeshe maneno yoyote ambayo niliwahi kuyatumia humu jukwaani yanayohalalisha mimi niwe "sukumagang" kama ulivyofanya hapo juu.
Tulighushu takwimu kama tulivyoghushi mapapai kukutwa na homa ya coronaNi kweli tuliingia uchumi wa kati wa chini maana tulikidhi vigezo vyao, japo tuliondolewa tena.
Mmejaa chuki tu zisizo na sababu kwa Marehemu, ndio maana hamuogopi kumzushia uongo, acheni Utoto.
CDM Ni wapumbafu San wanamlaumu magufuli as if kwamba magu ndio amelzazimisha cc kuingia uchumi wa Kati hopless kbsa Hawa jama aWapumbavu kabisa nyie. WB ndo waliotangaza uchumi wa kati, kwa nini alaumiwe JPM?
Mnapoteza muda bure tu. Hakuna wa kulinganishwa na JPM kwa sasa.
Uzuri ni kwamba, hata Bibie alishakiri wazi kwa kinywa chake kuwa hata afurukute, hawezi hata kumkaribia JPM.
You have been trying too hard buddy, give your little brain some rest.Nimemalizana na wewe. Nimekwishakuweka kwenye ngazi stahiki.
Habari za Bujumbura mkuu!Pmj na hayo Ni Bora utawal wa magufuli na lkina makonda na sabya lkn syo hili genge la walanguzi shenzi kbsa serekali imetekwa hiii mm mawambai ukweli
Jee wewe unajua hicho kiingereza? Acha hizo Kiingereza ni lugha tu kama kiswahili mbona unatia mashaka ya elimu yakoLilikuwa lizee shamba sana. Ndio maana hata kuongea kiingereza lilikuwa halijui
NDIOOO, Zimwi Ulijualo halikuli likakumaliza....Ila mpo tayari kuwakabidhi nchi mafisadi 'wajanja'.
Mimi nakumbuka fiksi ya Tanzania ya Viwonder.Yeye mwenyewe alikuwa mwongo hakuna mfano wake.
Awamu ya tano kila fiksi ilitumika kupumbaza watu, kwa faida za kisiasa
mungu mfuUsimlaumu yeye, labda uwe hujui hayo mambo nani huyatangaza.
Ajabu ni kwamba leo mimi namtetea yeye wakati yeye hawezi kujitetea; lakini wakati wa uhai wake ulikuwa kinara wa kumtetea!
Umenena kweli mkuu.Itatuchukua muda mrefu kupata mtu Kama yule.Mungu angempa uhai,tungekuwa ulaya ndogo.Kbsa mkuu alfu wanazani kuwa ss tunaomtetea Dr magufuli Ni wasukuma Nani kasema mm Wala sina chembe hzo ila ukweli magufuli alikuwa ndio rais taif hili linahitaji
Aliuporomosha uchumi toka 7% hadi 3.8%, makampuni mengi kufungwa na wazalendo kufilisika.Umenena kweli mkuu.Itatuchukua muda mrefu kupata mtu Kama yule.Mungu angempa uhai,tungekuwa ulaya ndogo.
Ww mwenzangu inaonekana hauju Kabisa Mambo ya economics.Kwa sisi wataalamu wa economics ,na finance ,hatuwezi kuargue Kama unavyoargue ww.Tunatumia econometrics mode na kuweka facts kwenye paper husika.Unajenga hoja dhaifu ya mtoto wa darasa la nne kuwa walipeleka data fake.Kama ingekuwa hivyo nchi nyingi zingefanya hivyo.Aliuporomosha uchumi toka 7% hadi 3.8%, makampuni mengi kufungwa na wazalendo kufilisika.
Pengine unaongelea ufisadi na matumizi mabaya ya madaraka kwa kuigeuza Chato toka bush hadi ulaya uayoijua kwa kujenga kwa upendeleo airport, kuhamishia wanyama Burigi na kujijengea daraja la Busisi.
Ufisadi wa kujipendelea na ukabila.
CDM umeiona wapi kwenye bandiko hilo uliloweka uchafu wako huo!CDM hawataki kusikia uzuri wowote wa magufuli jmn nnchi hi hatunamchama Cha upizani hi Ni saccos ya wachanga na washirika zake kina msingwa
Ambaye sina habari naye kabisa, sijui huyu chizi hapa ananihusisha vipi na mtu laghai aliyemtetea yeye wakati akilamba makombo ya huyu 'mungu' wake wakati wa uhai wake.mungu mfu
Na kuporomokakwa GDP toka 7% hadi 3.8% ni data fake?Ww mwenzangu inaonekana hauju Kabisa Mambo ya economics.Kwa sisi wataalamu wa economics ,na finance ,hatuwezi kuargue Kama unavyoargue ww.Tunatumia econometrics mode na kuweka facts kwenye paper husika.Unajenga hoja dhaifu ya mtoto wa darasa la nne kuwa walipeleka data fake.Kama ingekuwa hivyo nchi nyingi zingefanya hivyo.
Weka post niliyosema nitakuitia polisi, tukate mzizi wa fitna.Ambaye sina habari naye kabisa, sijui huyu chizi hapa ananihusisha vipi na mtu laghai aliyemtetea yeye wakati akilamba makombo ya huyu 'mungu' wake wakati wa uhai wake.
Nilijibizana kwa kirefu sana na huyu Jidu wakati nilipomwita Maghufuli kuwa ni "Laghai", kiasi kwamba huyu bwana angeniitia polisi kama angekuwa na uwezo wa kujua nilipo. Halafu leo anajikosha hapa kama mtu ambaye hakuhusika katika kumtetea.
Huyu Jidu ni 'opportunist' tu, anayejipendekeza kwa kila anayemlambisha uchafu.
Haya nenda kazikwe nae sasa kudadekiUwoni ule umati mkubwa uliyo muaga pale taifa mpk vijaana wakafunja fence ili tu kumuaga Bado hamuoni kuwa huyu mtu alipendwa na watu na wataz wote
CDM mjipange Sana jins ya kumchafua hayati magufuli
Acheni comedy unawatangazia watu uchumi wa Kati halafu likija suala la kuongeza mishahara unawaambia watu Hali ya kifedha siyo nzuri. Ndivyo tulivyoishi miaka 7 tukidanganywa na kupuliziwa
Huyu huwa simuelewi kabisaAnaupiga mwingi kwenye kuhamasisha ufisadi katika Taifa😁😁😁
View attachment 2225670
Nilishamalizana nawe, huelewi kitu gani?Weka post niliyosema nitakuitia polisi, tukate mzizi wa fitna.