Uchumba

Chibolo

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2012
Posts
5,768
Reaction score
8,037
MKWE:yaaani unakuja kuposa binti yangu huku unatafuna big G?
JAMAA:Mdomo wangu
unanuka nilivuta sigara
MWE:na sigara unavuta?
JAMAA:Nilivuta jana
nilipokunywa pombe wkt niko club
MKWE:eeeeh! Hadi pombe unakunywa?
JAMAA:Nilijifunza wakati niko jela.
MKWE:Mtumeee.....na kufungwa
ulishafungwa?.....!!!!
JAMAA:Yeaaah niliua.
MKWE:Tooobah Jenny kumbe huyu ni muuaji?!!! Hakuna ndoa tena!!! J
AMAA:Kuna mzee alinikatalia posa nikamuulia mbali......
MKWE:eeeeeh.....haina shida kijana wangu harusi tufanye lini?
JAMAA:ha! ha! ha! ha! ha! ha!
 
Angemwambia'' na mimi nilikuwa nataka kunywa sumu ili nife bora umepatikana wa kuniuwa''
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…