Hakikwanza
JF-Expert Member
- Dec 11, 2010
- 4,034
- 1,003
Nimetembelea eneo la madini ya chuma Liganga Mundindi Ludewa, Kunakampuni inacholonga miamba yenye madini na kuchukua sample sasa ni takribani miezi kadhaa imepita.Ninacho jiuliza muda wote huu wanachukua sample? Na ili upate sample unachukua mawe mengi namna hii? Hapa ni sawa na unachunguzwa kama unamalaria na mtu wa maabara anachukua damu lita moja kwa ajili ya uchunguzi, hivi mgonjwa si atakufa kama sio kuishiwa damu? Hii nchi siasa na uhuni kwenye madini sijui itaisha lini. Nawasilisha.