hahahaha shemeji pole sana Mungu alikuwa anakuandaa ili uje kuolewa na Msukuma maana mchoyo kwetu nisawa na mchawi."....Bwana atakutafutia msaidizi wa kufanana nawe"
hahahaha shemeji pole sana Mungu alikuwa anakuandaa ili uje kuolewa na Msukuma maana mchoyo kwetu nisawa na mchawi."....Bwana atakutafutia msaidizi wa kufanana nawe"
Kweli kabisa mkioana kushiriki Meza ya Bwana ruksa."......msinyimane kwani mwanamke hana amri juu ya mwili wake wale mwanaume hana amri juu ya mwili wake.."