Uchochezi wa Mohamed Said na dhihaka kwa Wapigania Uhuru wa Tanganyika na Zanzibar

Baada ya kufahamu udini umemlewesha huyo mzee nilianza kupuuza naandiko yake yenye sumu ya Udini kama sumu kuvu kwenye nafaka.
std7,
Ningekuwa naandika kuhusu Uislam (Dini).

Kitabu changu cha kwanza kisingechapwa mara nne kuanzia kilipotoka mara ya kwanza 1998 kwa Kiingereza wala kisingefanyiwa tafsiri ya Kiswahili ili kiwafikie wasomaji wengi.

Wala nisingekuwa mmoja kati ya waandishi 500 kutoka kila pembe ya dunia walioandika Dictionary of African Biography (DAB).

Wala nisingealikwa vyuoni ndani na nje ya mipaka ya Tanzania kuzungumza.

Nimeandika historia ambayo haikuwako kwa miaka mingi na ilipofahamika ndiyo hamasa hii ikatokea ya watu kutaka kupata elimu mpya katika historia ya uhuru wa Tanganyika.

Mimi ni mmoja katika waliohojiwa kuhusu maisha ya Mwalimu Nyerere katika kitabu hicho hapo chini.

Maktaba yangu imeandikwa ndani ya kitabu hicho ni kati ya maktaba tatu zenye historia kubwa ya Mwalimu: Maktaba ya Dr. Salim Ahmed, Mohamed Said na Brg. General Hashim Mbita.

Ningekuwa naandika dini nisingekuwa na nafasi katika kuandika historia ya Julius Nyerere na harakati za kupigania uhuru.

Angalia picha hizo hapo chini:

1713813415054.png

1713813518026.jpeg

1713813936119.jpeg


 
mzee Mohamed Said upeo wake umeishia hapohapo, kuna vimagazeti huwa anaandika anadai ni vitabu vimejaa umbeya na uswahili wa aina hiihii na analazimisha watu waamini kwamba ni vitabu na kwamba vina maana yeyote.
 
Hata waziri/naibu wa elimu/wakurugenzi wote baraza la mitihani/necta/watungaji/wasahihishaji mitihani wote wangekuwa ni waislam, bado waislam mngeendelea kulalama kuna mfumo kristo. Mkristo hana sababu ya kulalamikia NECTA ukizingatia mitihani ipo pale karibu mwaka mzima baada ya kusahihishwa...kama umeonewa ni suala la kuappeal tu...
Mtu yeyote aliyepata elimu hata ndogo tu anaweza kufanya utafiti rahisi sana. Dini haina utofauti na elimu, nikiwa na maana ya kwamba kile unachofundishwa ndicho kinakufanya uwe hivyo ulivyo. Umasikini utajiri ni fikra wala si pesa.
kama umepita shule yoyote ile katika maisha yako kwa kiasi fulani utakuwa umekutana na haya makundi mawili, je pale shuleni walikuwa wana ufaulu wa kiwango gani kwa kutazama dini zao? Kulikuwa na walimu waliowaonea kundi fulani?
Nenda fanya utafiti kwa wale watu wa jamii fulani na jamii nyingine, Je mfumo wao wa maisha upoje?

Kwa hili niwe muwazi tu. Nimeenda maeneo fulani kuna watu unaona huruma lakini utawasidiaje. Unakuta hilo eneo wanaishi kwa siku hiyo nikiwa na maana kwamba akiamka asubuhi anaenda kutafuta pesa ya maandazi ya asubuhi. Mke amelala anasema mume atafute kwa kuwa mimi sina kitu hapa akiniacha. Jamii hii inamtumbukiza binti mdogo vitu kwenye sehemu zake za siri ili avunje ungo mapema ili aolewe halafu mama afanye sherehe ili watu wamchangie. (Watu kama hawa wanaonewa na nani? Aliyewaonea aliyewapa maneno na mafundisho ya kuwadidiiza bia kuelewa madhara yake kwenye jamii).
 
mzee Mohamed Said upeo wake umeishia hapohapo, kuna vimagazeti huwa anaandika anadai ni vitabu vimejaa umbeya na uswahili wa aina hiihii na analazimisha watu waamini kwamba ni vitabu na kwamba vina maana yeyote.
Yesu...
PUBLICATIONS/RESEARCH PAPERS/ARTICLES

The Life and Times of Abdulwahid Sykes 1924 –1968 The Untold Story of the Muslim Struggle against British Colonialism in Tanganyika, Minerva Press London, 1998 translated into Kiswahili as Maisha na Nyakati za Abdulwahid Sykes 1924-1968 Historia Iliyofichwa Kuhusu Harakati za Waislam Dhidi ya Ukoloni wa Waingereza, Phoenix Publishers, Nairobi, 2002.

The Torch on Kilimanjaro, Oxford University Press, Nairobi, 2006

Contributing author for an African anthology: The Mermaid of Msambweni and Other Stories, Oxford University Press 2007, Nairobi.

Contributing author Dictionary of African Biography (DAB), Oxford University Press 2011, New York.

Uamuzi wa Busara, Abantu Publications 2008, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No. 1, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam.

Watu Mashuhuri Katika Uhuru wa Tanganyika No.2, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dar es Salaam na Wazalendo Wake Mashujaa Katika Kupigani Uhuru wa Tanganyika Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaaam

Watu Mashuhuri Katika Kuulingania Uislam Tanzania, Sheikh Ilunga, Ibn Hazm Media Centre 2018, Dar es Salaam

Dola, Kanisa na Tatizo la Udini Tanzania, Ibn Hazm Media Centre, 2018, Dar es Salaam

The School Trip to Zanzibar, Africa Proper Education Network 2020, Dar es Salaam

Rajabu Ibrahim Kirama, Jemadari wa Vita Kuwa Jemadari wa Uislam, Readit, 2020, Dar es Salaam

In Praise of Ancestors (1987) Africa Events (London).

Abdulwahid Sykes: Founder of Political Movement (1988) Africa Events (London).

Islam and Politics in Tanzania (1989) Al Haq International (Karachi)

The Plight of Tanzanian Muslim (1993) Change (Dar es Salaam).

Tanzania - The "Secular" Unsecular State (1995) Change (Dar es Salaam).

The Question of Muslim Stagnation in Education in Tanzania - A Muslim Riddle (Paper presented at the Conference of the Global World of the Swahili Intercultural Dialogue on the Indian Ocean Zanzibar, February 20 - 23, 2003).

Islamic Education and Intellectualism in Eastern Africa ‘Themes from the Pulpit in Tanganyika (Tanzania Mainland) 1800 – 2000’ (Paper presented at International Symposium on Islamic Civilisation in Eastern Africa Kampala, Uganda organised by the Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA), Istanbul and the Islamic University in Uganda, Mbale December 15th – 17th 2003).

Sheikh Hassan bin Ameir - The Moving Spirit of Muslim Emancipation in Tanganyika (1950 – 1968) (Paper presented at Youth Camp Organised by Zanzibar University, World Assembly of Muslim Youth (WAMY) and Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) 27th February – 4th March 2004).

Islamic Movement and the Christian Lobby in Tanzania - the Experience of the late Prof. Kighoma Ali Malima (1938 – 1995) (Paper Presented to Tanzania Muslim Students Association (TAMSA) Sokoine University of Agriculture (SUA) Morogoro 11th April 2004).

Terrorism in East Africa the Tanzanian Experience (Paper Presented at the Conference on Islam, Terrorism and African Development University of Ibadan, Nigeria 8th - 10th February 2006).

Al Marhum Sheikh Kassim bin Juma bin Khamis (1940 – 1994) and the Pork Riots of 1993. (Paper Presented at the Regional Conference on Islam in Eastern Africa: Islam Encounter with the Challenges of the 21st Century 1st - 3rd August 2006, Kenyatta University, Nairobi.

Muslim Bible Scholars of Tanzania – The Legacy of Sheikh Ahmed Deedat (1918 – 2005) Paper Presented at the International Symposium on Islamic Civilisation in Southern Africa Organised by The Organisation of Islamic Conference Research Centre for Islamic History, Art and Culture (IRCICA) The National AWQAF Foundation of South Africa (AWQAF SA 1 – 3 September 2006 University of Johannesburg.

Tanzania: A Nation Without Heroes Seminar Organised by IFRA French Institute for Research in Africa and BIEA British Institute in East Africa 23rd and 24th September 2013 at IFRA Nairobi.

Awards: Several Awards
Visiting Scholar: (2011)
University of Iowa, Iowa City, USA
Northwestern University, Chicago, Illinois, USA
Zentrum Moderner Orient (ZMO), Berlin.

OTHER COUNTRIES VISITED
Zambia, Ethiopia, Great Britain, Swaziland, Msumbiji, Zimbabwe, Zambia, Sudan, Egypt, Saudi Arabia, United Arab Emirates, Oman, Yemen, Uganda, Switzerland, Iran, France, Netherlands, Turkey and Abu Dhabi.
1713846641938.jpeg

1713847057571.png

1713846765806.png

1713847145262.png

1713847253960.jpeg

1713847324233.jpeg








 
mzee Mohamed Said upeo wake umeishia hapohapo, kuna vimagazeti huwa anaandika anadai ni vitabu vimejaa umbeya na uswahili wa aina hiihii na analazimisha watu waamini kwamba ni vitabu na kwamba vina maana yeyote.
Huyu labda akasomeshe huko Msikitini huku hana nafasi kabakia kulazimisha Sykes alikuwa bora kuliko Mwl Nyerere!.

Nikimdharau aliposhabikia waarabu kuchukua Bandari zetu nikajua kumbe huyu mzee punguani.Kwake yeye Waarabu ni kila kitu.
 
Back
Top Bottom