Uchochezi halisi

Jamaa kaona asiukate..akaona bora ukomalie kwa jirani..ila watoto wa kihuni hapo wanaweza kupita nao
 
Siku huo ukuta unajengwa nilikuwepo watu walicheka wakavunjika mbavu

Usinisahau kwenye Baraza Jipya.
 
Yaelekea Ukuta ulijengwa Miaka mingi iliyopita.

Sema hizo Kozi tatu wameamua kupandisha hivi sasa
 
hapo ni kwenda tu sokoni kununua viungo elekezi,unapitia buchani unachukua nyama kilo moja (ile yenye mifupa kidogo ndo inafaa),bila kusahau coca bonge.unawapigia na washkaji wawili watatu,unawaambia leo machalarii kama tuko rombo vile.
 
hapo ni kwenda tu sokoni kununua viungo elekezi,unapitia buchani unachukua nyama kilo moja (ile yenye mifupa kidogo ndo inafaa),bila kusahau coca bonge.unawapigia na washkaji wawili watatu,unawaambia leo machalarii kama tuko rombo vile.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…