IrDA JF-Expert Member Joined Aug 26, 2010 Posts 745 Reaction score 361 Nov 8, 2011 #1 Wenzetu wameendelea,wanaanza kuvumbua vituko...Hebu cheki hizi picha Mto wa kulalia wenye mkono wa mwanaume Kofia yenye kitambaa cha kujifutia makamasi Butter iliyo mfumo wa gundi Huitaji kuangaika kushika ukiwa umesimama kwenye basi Feni ya kupuliza chakula ikiwa kwenye kijiko Hapa dawa iya machonawekwa kama mafuta ya taa Hapa hakuna kuloa popote,hata inyeshe mvua ya mawe Ni hayo tu wadau Orginal post by http://mafiakisiwani.blogspot.com
Wenzetu wameendelea,wanaanza kuvumbua vituko...Hebu cheki hizi picha Mto wa kulalia wenye mkono wa mwanaume Kofia yenye kitambaa cha kujifutia makamasi Butter iliyo mfumo wa gundi Huitaji kuangaika kushika ukiwa umesimama kwenye basi Feni ya kupuliza chakula ikiwa kwenye kijiko Hapa dawa iya machonawekwa kama mafuta ya taa Hapa hakuna kuloa popote,hata inyeshe mvua ya mawe Ni hayo tu wadau Orginal post by http://mafiakisiwani.blogspot.com
africa6666 JF-Expert Member Joined Aug 18, 2008 Posts 281 Reaction score 53 Nov 9, 2011 #2 Sasa kwa nini unauita uchizi?