Uchebe atua AFC Leopard ya Kenya

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,377
217,438
Kocha wa zamani wa Klabu ya Simba ya Tanzania, Patrick Aussems ametangazwa kuwa  ( 439 X 640 ).jpg


Habari zaidi zitafuata
 
Mbona kapauka sana,ama kweli Simba ni timu ya neema.
Ni kweli Simba ilikuwa inampa mshahara mkubwa kutoka kwenye fungu la CAF la ligi ya mabingwa , na ndio maana walipotolewa kwenye hatua ya makundi ikabidi afukuzwe kwa vile hakukuwa na hela za kumlipa .

Mo hajawahi kutumia hela yake kuihudumia Simba
 
Ni kweli Simba ilikuwa inampa mshahara mkubwa kutoka kwenye fungu la CAF la ligi ya mabingwa , na ndio maana walipotolewa kwenye hatua ya makundi ikabidi afukuzwe kwa vile hakukuwa na hela za kumlipa .

Mo hajawahi kutumia hela yake kuihudumia Simba
Mkuu kwaiyo ata wachezaji wanalipwa na izo hela za club bingwa? Za usajili je

Izi timu zetu ni choka mbaya GSM na Mo waheshimiwe ata kidogo
 
Mkuu kwaiyo ata wachezaji wanalipwa na izo hela za club bingwa? Za usajili je

Izi timu zetu ni choka mbaya GSM na Mo waheshimiwe ata kidogo
Unajua kiasi cha pesa kinachoingizwa na simba au Yanga ?
 
Ni kweli Simba ilikuwa inampa mshahara mkubwa kutoka kwenye fungu la CAF la ligi ya mabingwa , na ndio maana walipotolewa kwenye hatua ya makundi ikabidi afukuzwe kwa vile hakukuwa na hela za kumlipa .

Mo hajawahi kutumia hela yake kuihudumia Simba
Ongera umejitahidi.
Kahadithi kako kazuri.
 
Back
Top Bottom