Now nimeshangaa kuona wachawi wapo live kabisa hakuna wanachokiogopa tena yaani hakuna kabisa af wajinga wachache wanaingia king mm japi najua kusoma nyota ila kamwe siwezi ingia live na ili nikusomee nyota uwe umenishawishi sana ila wamachofanya hawa ni aibu sana
Kenya ndio wajinga wa mwisho kuna mchungaji wa uko nilimsikia ana mwambia muumini nitakupiga makofi mwingine akawa anatoka njee kamuambia hakuna kutoka unaenda wapi duh
Kenya ndio wajinga wa mwisho kuna mchungaji wa uko nilimsikia ana mwambia muumini nitakupiga makofi mwingine akawa anatoka njee kamuambia hakuna kutoka unaenda wapi
Kenya ndio wajinga wa mwisho kuna mchungaji wa uko nilimsikia ana mwambia muumini nitakupiga makofi mwingine akawa anatoka njee kamuambia hakuna kutoka unaenda wapi duh