kanyero
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 202
- 21
Unaumwa au ? Kuna uhusiano gani kati ya komenti yako na uzi wangu?
Nina maana hii:
1.Ni watu wangapi walio Tumia njia hizo?
2. Ipi njia ni bora zaidi ya nyingine?
3. Ipi njia ambayo watu wengi wanaipenda?
4. Ni yepi madhara yatokanayo njia hizo?
5. Kwa kiwango gani madhara yana uwezekano wa kujitokeza?
6. Ni mgawanyo upi unaweza kuelezea matumizi ya hiZo njia kwa kuzingatia kanda, mikoa, wilaya, Kabila n. k??