Bengazuu
JF-Expert Member
- Mar 28, 2013
- 1,029
- 1,236
Wakuu naomba kuuliza hili swala la uchangishaji wa pesa mashuleni maana kuna shule ipo mkoani iringa "malangali boys secondary school" sijaelewa lengo la mkuu wa shule hiyo kuwalazimisha wadogo zetu kulipa gharama za umeme kwa kila mwanafunzi tsh 30, 000 na huo umeme kwa maelezo yake alikua anatarajia asubiri hadi ufike wa "REA" pia makubaliano ya utoaji wa pesa hizo haukuwa wa makubaliano baina ya walimu na wanafunzi na walimu na wazazi .
Lengo langu hasa naomba kujua kama kusaka haki kwa tatizo kama hili nitaanzia ngazi gani maana siwezi vumilia pesa ikiteketea kizembe umeme wa "REA" alisema utafika mwaka jana mwezi wa pili lakini hadi sasa hivi hali tete na analazimisha watu watoe noti hizo!
Nitaanzia wapi wakuu kutafuta suluhu la hili jambo?
Lengo langu hasa naomba kujua kama kusaka haki kwa tatizo kama hili nitaanzia ngazi gani maana siwezi vumilia pesa ikiteketea kizembe umeme wa "REA" alisema utafika mwaka jana mwezi wa pili lakini hadi sasa hivi hali tete na analazimisha watu watoe noti hizo!
Nitaanzia wapi wakuu kutafuta suluhu la hili jambo?