Emmanuel kamuli
Member
- Jul 4, 2017
- 22
- 4
Leo ni siku mbaya nishazoea kujiunga sh 500 dk 60 na 1.2gb bt Leo wanasema invalid services. Cjui kwa nn
Unapiga menu ipi kupata hicho kifurushi mkuu..?Leo ni siku mbaya nishazoea kujiunga sh 500 dk 60 na 1.2gb bt Leo wanasema invalid services. Cjui kwa nn
Me nimejaribu zaidi ya mara 5 leo ikawa inazingua.. ila nikawa mbishi, nikaebdelea kujaribu ikakubali... ni ratizo tu la mtandaokuna kifurushi cha 1500 dk 145 airtel_airtel na dk5 mitandao yote kwa siku7 Leo imegoma sijui kwa nini airtel wanazingua sana
Me nimejaribu zaidi ya mara 5 leo ikawa inazingua.. ila nikawa mbishi, nikaendelea kujaribu ikakubali... ni ratizo tu la mtandaokuna kifurushi cha 1500 dk 145 airtel_airtel na dk5 mitandao yote kwa siku7 Leo imegoma sijui kwa nini airtel wanazingua sana
*149*81#Unapiga menu ipi kupata hicho kifurushi mkuu..?
Umeunga ya wiki au cha siku mkuu?Me nimejaribu zaidi ya mara 5 leo ikawa inazingua.. ila nikawa mbishi, nikaendelea kujaribu ikakubali... ni ratizo tu la mtandao
Ok.. pamoja mwamba*149*81#
Cha wiki mkuu,Umeunga ya wiki au cha siku mkuu?
Nimelazimsha mpka imekbali mkuuOk.. pamoja mwamba