Mbunge wa chama gani atakayechukua hatua. Kama ni wa chama cha Magamba hata siku moja. Wenye taarifa waiweke humu humu tu maana nchi imehami jf siku hizi. Mwageni mchele kwenye kuku wengi ili moto uwake vizuri. Wamezoea sana kutapanya hela zetu.
Kama mbunge hatafanyia kazi, basi nadhani kuna kina Mh Regia Mtema ambao waligombea ubunge jimbo la Kilosa ambao wanaweza kutumia nafasi hii kujipandisha chati. Yani hapa wahakikishe hii Halmashauri inapinduliwa juu chini! Tumechoka na wizi...
Kama mbunge hatafanyia kazi, basi nadhani kuna kina Mh Regia Mtema ambao waligombea ubunge jimbo la Kilosa ambao wanaweza kutumia nafasi hii kujipandisha chati. Yani hapa wahakikishe hii Halmashauri inapinduliwa juu chini! Tumechoka na wizi...
Haaa! Jamani acheni siasa za wanasiasa maana hayo ma-power tiller supplier analeta kulingana na LPO. Kilichoandikwa kwenye LPO ndo anacholeta sasa huo ubora wa kitu ambacho hakijatumika kabisa nani kauona na kuudhibitisha???
Nakumbuka mwaka jana nikiwa Halmashauri ya Kigoma power tiller zilikaa pale kama miezi sita na zikaanza kuibiwa vitu vidogo vidogo kwa madai kama hayo lakini kisa ilikuwa baadhi ya watu kunyimwa tenda. Ulikuwa mzozo mkubwa!!
Nadhani siasa za maji machafu zimehamia kwenye Halmashauri zetu na huko ndo tunapata matatizo mengi yanayochochewa na watu/ Kila mtu ni mtaalam na kiongozi kwenye Halamashauri zetu. Anayebisha kuwa huo ni mgogoro wa kimaslahi tu ataniambia kitakachotoa baadae!!!!!