Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Katika uchambuzi mwingi wa leo kwenye kumbukizi Muungano unakumbusha kuwa kiini cha muungano ni mapinduzi ya Zanzibar 1964 baada ya "Kupokwa" uchaguzi wa Dec 1963 na kumpatia ushindi Sultani badala ya ASP.
Hofu ikawa kuwa huenda Sultani angeweza kurudi hivyo muungano ulikuwa ulinzi kwao.
Sasa tuje kwenye uchaguzi mkuu wa Octoba 2020 ambao ni wazi ulipokwa na kuwapa ushindi 'WOTE' CCM.
Tujiulize, kwa nini mapinduzi baada ya Sultani na chama chake kupora uchaguzi 1963 yanaitwa "mapinduzi matukufu" lakini kupora uchaguzi kwa Magufuli na chama chake CCM 2020 kumenyamaziwa na hakuna "matukufu" yeyote yamefanywa wala hayafikiriwi kufanywa?
Hofu ikawa kuwa huenda Sultani angeweza kurudi hivyo muungano ulikuwa ulinzi kwao.
Sasa tuje kwenye uchaguzi mkuu wa Octoba 2020 ambao ni wazi ulipokwa na kuwapa ushindi 'WOTE' CCM.
Tujiulize, kwa nini mapinduzi baada ya Sultani na chama chake kupora uchaguzi 1963 yanaitwa "mapinduzi matukufu" lakini kupora uchaguzi kwa Magufuli na chama chake CCM 2020 kumenyamaziwa na hakuna "matukufu" yeyote yamefanywa wala hayafikiriwi kufanywa?