Chifu kamaliza
Member
- Nov 17, 2011
- 32
- 5
Katika uchaguzi wa tarehe 14 CCM kushinda kwa asilimia 80 kwa sababu uwezo wanao, sababu wanazo pia wagombea wao ni watu makini na wanaokubalika na jamii ya watu walio wengi tofauti na vyama pinzani.Tafiti iliyofanywa shirika la feed Africa ktk mitaa yote ya mkoa wa Arusha wasema ktk mitaa 153 UKAWA wanaweza kupata mitaa 10 tu.