johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,958
- 141,951
Anayejua anijuze maana hali ni tete kwa mustakabali wa chama. Nauliza ili kama muda umekaribia tuanze siye wafia chama tuanze kudunduliza vihela vya kumchukulia fomu Joseph Mbilinyi aka Sugu aende kukipigania chama kinachozama kwa kasi. Nasubiri jibu, ahsante!