Kwamba dunia nzima haijui vigezo vya uchaguzi huru na haki na badala yake ZEC pekee ndio ina vigezo hivyo. Halafu wanakingiwa kifua na Serikali iliyomchaguwa mwenyekiti wake Jecha.
Kwamba uzoefu wa wazee wetu na wanadiplomasia hawajui athari za kususiwa na mataifa yenye nguvu kiasi cha kusubiri mpaka tuanze kuathirika watanzania wote kwa maslahi ya wahafidhina wachache na waroho wa madaraka.
Kwamba kwa makusudi tumeamua kubariki wazanzibari wabaguane na kurejesha uhasama wa asili na watu kufufukuzwa makazini na kubariki kuivuruga Katiba ya Zanzibar toleo la 2010.
Kwamba wasomi wote waliopo na wazoefu wa uongozi hawajui hatari iliyopo inayonyemelea Zanzibar. Wamenyamaza kimya wakumuacha mtawala (CCM) akifanya atakavyo kule Zanzibar na kwamba tumeshindwa kujuwa maana halisi ya Uzalendo, Usawa, Haki na Uadilifu pamoja na maana ya demokrasia katika vyama vingi?
Kwamba hatujuwi repacation ya kurejewa uchaguzi uliokwisha malizika na washindi kupatikana halafu tunajisahaulisha kwamba unarejewa tena kwa sababu Chama tawala kimeshindwa? hii Precedence ni mbaya sana na itakuwa imeasisi uduikteta wa KUDUMU kwa mtawala. iTAKUWA KUANZIA SASA iwe NEC au ZEC wakijisikia watafuta ucxhaguzi na itakuwa hakuna awzaye kuzuwiya.
Hivi hao waliotandika Demokrasia wako wapi? hawalijui hili? nini hatma ya Zanzibar na Tanzania kwa Kadhia hii.
Hivi kwa hili hatujitakii laana wenyewe au ndio mtawala ana dola na bunduki?
Kwamba uzoefu wa wazee wetu na wanadiplomasia hawajui athari za kususiwa na mataifa yenye nguvu kiasi cha kusubiri mpaka tuanze kuathirika watanzania wote kwa maslahi ya wahafidhina wachache na waroho wa madaraka.
Kwamba kwa makusudi tumeamua kubariki wazanzibari wabaguane na kurejesha uhasama wa asili na watu kufufukuzwa makazini na kubariki kuivuruga Katiba ya Zanzibar toleo la 2010.
Kwamba wasomi wote waliopo na wazoefu wa uongozi hawajui hatari iliyopo inayonyemelea Zanzibar. Wamenyamaza kimya wakumuacha mtawala (CCM) akifanya atakavyo kule Zanzibar na kwamba tumeshindwa kujuwa maana halisi ya Uzalendo, Usawa, Haki na Uadilifu pamoja na maana ya demokrasia katika vyama vingi?
Kwamba hatujuwi repacation ya kurejewa uchaguzi uliokwisha malizika na washindi kupatikana halafu tunajisahaulisha kwamba unarejewa tena kwa sababu Chama tawala kimeshindwa? hii Precedence ni mbaya sana na itakuwa imeasisi uduikteta wa KUDUMU kwa mtawala. iTAKUWA KUANZIA SASA iwe NEC au ZEC wakijisikia watafuta ucxhaguzi na itakuwa hakuna awzaye kuzuwiya.
Hivi hao waliotandika Demokrasia wako wapi? hawalijui hili? nini hatma ya Zanzibar na Tanzania kwa Kadhia hii.
Hivi kwa hili hatujitakii laana wenyewe au ndio mtawala ana dola na bunduki?