figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,720
- 55,859
Habari wakuu,
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), George Simbachawene, amesema kuwa kufuatia Rais Magufuli kuridhia kuundwa kwa Wilaya mpya baadhi zikiwa Jijini Dar, ambazo ni Wilaya ya Kigamboni na Ubungo, ni dhahiri baadhi ya Madiwani itabidi wakae kwenye Halmashauri zao ambazo zinaanzishwa ili wachague Mameya
Kuhusu uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar, alisema utakuwa Februari 8 mwaka huu.
Wilaya zilizoongezwa na Wilaya ya Kigamboni na Wilaya ya Ubungo, hivyo Madiwani nao wamegawanyika kutokana na Mgawanyo wa Wilaya.
Natumaini huu utakuwa mwisho wa hujuma katika Uchaguzi wa Mameya wa Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (TAMISEMI), George Simbachawene, amesema kuwa kufuatia Rais Magufuli kuridhia kuundwa kwa Wilaya mpya baadhi zikiwa Jijini Dar, ambazo ni Wilaya ya Kigamboni na Ubungo, ni dhahiri baadhi ya Madiwani itabidi wakae kwenye Halmashauri zao ambazo zinaanzishwa ili wachague Mameya
Kuhusu uchaguzi wa Meya wa Jiji la Dar, alisema utakuwa Februari 8 mwaka huu.
Wilaya zilizoongezwa na Wilaya ya Kigamboni na Wilaya ya Ubungo, hivyo Madiwani nao wamegawanyika kutokana na Mgawanyo wa Wilaya.
Natumaini huu utakuwa mwisho wa hujuma katika Uchaguzi wa Mameya wa Dar es Salaam.