Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Habari wana jamvi,baada ya kuakhirishwa uchaguzi wa chadema muheza,leo kamati tendaji imekaa na kutoa taarifa kuwa uchaguzi utaendelea tarehe tajwa hapo juu hii ni kutokana na kifo cha mzee rashid mwengo ambe amezikwa jana,pia ikumbukwe kuwa mabaraza tayari wamechaguana nafasi zitakazo pigiwa kura ni (5),mwenyekiti(w),katibu(w),mwenezi(w),mwekahazina(w) na mjumbe wa mkutano mkuu taifa;all da best wote