Masikini_Jeuri
JF-Expert Member
- Jan 19, 2010
- 6,829
- 1,296
Wakati kinyang'anyiro kulekea uchaguzi mkuu wa Rais wa Benin utakaoshindanisha wagombea 14 hapo May 13 tayari kuna malalamiko kutoka kambi ya upinzani baada ya Rais aliyepo madarakani kuthibitishwa kushinda uchaguzi ambao haujafanyika!
Hii ndiyo afrika yetu!
Hii ndiyo afrika yetu!