Ben Saanane
JF-Expert Member
- Jan 18, 2007
- 14,581
- 18,124
Hayo ya Ben Saanane kupandikiza ni uongo
''uchaguzi wa uvccm umeanza kwa kuingiliwa na vyama nje ya ccm huku baadhi ya wanasiasa nje ya umoja wa vijana kupanga safu yao.ridhiwani anatuhumiwa kumpandikiza ally hepi aliyekuwa kiongozi wa DARUSO huku baadhi ya wanasiasa vijana nje ya CCM wakipandikiza wagombea wao kwa ustadi ndani ya jumuiya.Maandalizi ya kuchukua fomu hadi uandishi wa matamko yao na hata ufadhili unafanywa na baadhi ya watu kwa maslahi ambayo hayaendani na umoja wa vijana.
Hali hii inatishia uchaguzi huru na wa hakli kwa maslai ya baraza la vijana kwani madhumuni ya mipango hii hayajawekwa wazi.siasa za kuchafuana zinasukwa kwa ustadi mkubwa unaohusisha mbinu za kimafya jambo ambalo linakosesha haki kwa watoto wa wakulima wasio na watu wa kuwapigia vifua.hali ya mgawanyiko ndani ya chama ndiyo inayoendelea kukiumiza chama jambo lililotoa mwanya kwa vyama vya upinzani kujipenyeza na kuunga mkono baadhi ya wagombea kwa maslahi binafsi.''
''uchaguzi wa uvccm umeanza kwa kuingiliwa na vyama nje ya ccm huku baadhi ya wanasiasa nje ya umoja wa vijana kupanga safu yao.ridhiwani anatuhumiwa kumpandikiza ally hepi aliyekuwa kiongozi wa DARUSO huku baadhi ya wanasiasa vijana nje ya CCM wakipandikiza wagombea wao kwa ustadi ndani ya jumuiya.Maandalizi ya kuchukua fomu hadi uandishi wa matamko yao na hata ufadhili unafanywa na baadhi ya watu kwa maslahi ambayo hayaendani na umoja wa vijana.
Hali hii inatishia uchaguzi huru na wa hakli kwa maslai ya baraza la vijana kwani madhumuni ya mipango hii hayajawekwa wazi.siasa za kuchafuana zinasukwa kwa ustadi mkubwa unaohusisha mbinu za kimafya jambo ambalo linakosesha haki kwa watoto wa wakulima wasio na watu wa kuwapigia vifua.hali ya mgawanyiko ndani ya chama ndiyo inayoendelea kukiumiza chama jambo lililotoa mwanya kwa vyama vya upinzani kujipenyeza na kuunga mkono baadhi ya wagombea kwa maslahi binafsi.''