Jeshi la polisi mkoani mara limetoa onyo kali kwa mtu au kikundi chochote cha watu kutojihusisha na vitendo vya vurugu,fujo ama vitisho vinavyoweza kusababisha uvunjifu wa amani wakati wa zoezi zima la uchaguzi wa viongozi wa serikali za mitaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.