Uchaguzi ni kifurushi: Kibali kingine cha nini kukusanyika kupata matokeo wakati cha kupiga kipo?

Nicholas

JF-Expert Member
Mar 7, 2006
25,260
7,195
JAMANI UCHAGUZI NI MCHAKATO WENYE MICHAKATO MINGINE NDANI.NA HUWEZI TENGANISHA KIRAHISI HIVYO NA UKABAKI NA HICHO KIFURUCHI AU MFUMO.

Kwa mara ya kwanza naona hii nchi watu na hata watafsiri wa sheria wakifanya mizaha sana.Sasa uchaguzi ukiweka upiga kura halafu ukaondoa kusikiliza na kusubiri matokeo utabaki na kitu kinaitwa uchaguzi kweli?

Hembu mahakama zetu zitende haki, wanasiasa wetu waache upuuzi sasa. Hivi kweli watz wanhitaji kibali kingine tena cha nini ili kusubiri matokeo?Kibali kilichoruhusu watu kukusanyika ili kupiga kura kwanini kiiishe muda ktk kupiga kura wakati bado zoezi halijaisha?Hao mahakimu waulizwe kwa matokeo si sehemu ya uchaguzi na upigaji kura.Km sio basi hakuna haja ya mahakama kupoteza muda.

Hii sheria itakuwa ya hitufai kapisa km ndio sheria iliyoandikwa na kufikiriwa na serikali ya ccm?
 
mambo ya kipuuzi km hawa wenzetu huwashinda ktk nchi zilizoendelewa haswa wahuni wanapotaka weka copyrights na patents juu ya vitu huru na bure ktk jamii.Huwa wakiulizwa km wakitoa chao kilichobaki ni kitu tena chenye matumizi husihia kukimbizwa mahakamani.Sasa hivi tume na CCM watahitajiw atuambie km uchzguzi bila matokeo, na matokeo hayo yatatoka siku hiyo hiyo,hao ccm wanafanahamu watu wanatoka wapi na muda gani wanamaliza piga kura hadi wawe na muda kurudi nyumbani na kurudi tena ktk vituo?Mahakama ziondoe huu upuuzi ili kuzua wenye nia mbaya ya kuvunja amani kijinga hivi wasiweze kabisa.
 
Itashangaza polisi wakijidai kwamba wanaingiza sheria ya kibali cha kukusanyika..Itabidi sasa watafute kila mtu kituo chake hc akupigia kura na kusubiri matokeo kivyake ili huo msongamano usiwehitaji kibali.
 
Tusubiri mahakama nayo ikizengua tunaamua wana wa nchi
 
Mimi nitakaa nje ya m200 kwa namna yoyote nijuavyo, hata kuuza pipi.
 
Back
Top Bottom