assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,909
- 4,057
Habari ambazo hazijatibitishwa ni kuwa kuna baadhi ya wanachama hawaridhishwi kwa kutaka kulazimisha mh mbowe agombee tena waksti kuna malalamiko mengi juu yake.
Vilevile msajili wa vyama aliiandikia chadema na kutoa tahadhsr juu ya waheshimiwa waliomaliza muda wao kungangania madaraka.
Pili ni uchaguzi ndani ya bavicha habsri zinadai kuna mvutano mkali hadi baadhi wanadai inaweza kuipasua chadema
mytake.
CHADEMA IJIFUNZE DEMOKRASIA KWA UHAI WAKE YENYEWE. UHAFIDHINA NI SUMU YA DEMOKRASIA
Vilevile msajili wa vyama aliiandikia chadema na kutoa tahadhsr juu ya waheshimiwa waliomaliza muda wao kungangania madaraka.
Pili ni uchaguzi ndani ya bavicha habsri zinadai kuna mvutano mkali hadi baadhi wanadai inaweza kuipasua chadema
mytake.
CHADEMA IJIFUNZE DEMOKRASIA KWA UHAI WAKE YENYEWE. UHAFIDHINA NI SUMU YA DEMOKRASIA