daruweshi97
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 464
- 49
Sasa nataka kujuwa yeriko na ben uzito wao ndani ya chama uku je
Au ww ni kwenye mitandao tu ndio nguvu yao
Kuna mtu anaitwa MTOI yy kwao hata mjumbe hapati hoja zao ni kwenye fb na jf
Au ww ni kwenye mitandao tu ndio nguvu yao
Kuna mtu anaitwa MTOI yy kwao hata mjumbe hapati hoja zao ni kwenye fb na jf