kirumonjeta
JF-Expert Member
- Feb 9, 2008
- 3,966
- 1,968
Hebu wadau tukiangalie hiki kitu,nnapata wasiwasi kuwa isije kuwa pale kwenye bunge la KATIBA,hii mijamaa inayovuruga vikao kwa matusi na kejeli sababu kuu ni kupoteza muda ili hata serikali tatu zikipita itakuwa too late kuandaa katiba ya Tanganyika kabla ya uchaguzi kufanyika October 2015.Nahisi hii ni janja yao ili waendelee kutawala kwa kipindi kingine.Haya ni mawazo yangu tu,
MSALANI na wenzio msiharibu huu uzi tafadhali!!!
MSALANI na wenzio msiharibu huu uzi tafadhali!!!