Uchaguzi mkuu TFF, wangapi wangependa Malinzi arudi?

makalango

JF-Expert Member
Feb 10, 2017
448
252
Kamati tendaji ya Tff imetangaza kuwa uchaguzi mkuu utafanyika jumapili tarehe 12/08/2017 ambapo uchaguzi huo utakuwa kuwachagua rais wa shiriko la mpira wa miguu Tanzania Tff na makamu rais wa Tff pamoja na kamati tendaji. Chanzo salehe jembe.

Swali langu:wangapi humu wangependa Jamali Malinzi achaguliwe kuwa rais wa Tff tena?
 
Hafai kabisa, bora Tenga angepewa hata bila kura kuliko huyu aliyetushushia mpira wetu bila haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…