Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,669
Kwa mfano CCM ikikubali kufanya democrasia. 2020 wakafanya uchaguzi wa kusimamisha mgombea wa Uraisi. Katika top 2 asimame Magufuli na Mama Salma kikwete. Je nani atafaa kuwekwa mgombea wa Uraisi kupitia chama cha mapinduzi?
Tuchangie bila mihemko. Vigezo na mashari vya kutokumuuzi mkuu vizingatiwe.
Tuchangie bila mihemko. Vigezo na mashari vya kutokumuuzi mkuu vizingatiwe.
